Monday, June 9, 2014

WANAUME nchini Malawi wawapa talaka wake zao baada ya kugundua kuwa wameathirika na virusi vya ukimwi



WANAWAKE  wanaoishi  na virusi vya ukimwi kaskazini mwa Malawi katika wilaya ya Karonga wameachwa na wanaume zao baada ya kugundulika kuwa ni waathirika ya ukimwi  na wanaume  hao kuamua kuoa wanawake wengine .


Malya Simbeye ni mmoja wa waathirika wa kadhia hiyo amewaambia wanahabari mjini Bryantire kuwa mumewe aliamua kumuacha baada ya kugundua kuwa  na maambukizi ya virusi vya ukimwi.

Tafiti kutoka nchini Malawi   zinzeleza kuwa , asilimia 15 ya wanawake walioambukizwa ukimwi   nchini humo wametarikiwa na waume zao

No comments:

Post a Comment