Ukataji miti hovyo uhathiri maisha ya wanyama |
Ushauri huo umetolewa jana na Meneja wa wakala wa Misitu wilayani Kilosa, mkoa wa Morogoro, Bwana John Olomi wakati akiongea katika kipindi cha dira ya Mazingira kupitia redio jamii ya Kilosa.
Amesema mabadiliko ya tabia nchi ni janga la kitaifa na kimataifa hivyo wananchi hawanabudi kushirikiana na wataalamu ili kukabiliana na hali hiyo.
Nasikia Kilosa kuna mkaa endelevu ,uko vipi huo?
ReplyDeleteHongereni kwa kipindi cha mazingira, tunahitaji kuwahoji hao mabwana na bibi misitu, hasa kuhusu mkaa.
ReplyDeleteNipo Dumila tupewe muda wa maswali.kipindi kinarudiwa lini?.Misitu ya hifadhi ni ipi?
ReplyDeleteMaaskari wa Misitu wanatuonea huku kijiji cha Mbwade, awatuhoji wala kutusikiliza.
ReplyDeleteWataalamu wajena huku Parakuyo na Mkata.Hatuna elimu ya Mazingira na uhifadhi wa Misitu.John Haule
ReplyDeleteWilaya na wataalamu wa mazingira wana mikakati gani ya kuboresha kilimo kilicho rafiki wa mazingira?Mbona wananvchi wanajilimia hovyo na kutumia mbolea bila kupta ushauri wa wataalamu?
ReplyDeleteNjooni kwetu mtembelee kijiji cha Ilonga, mtufundishe namna ya kuhifadhi na kutunza pia kulima miti.
ReplyDeleteKipindi cha jumamosi iliyopita kilikuwa kizuri sana kuhusu tabia ya nchi.Kuna utaratibu gani wa kuwa elimisha watu wanaokata miti hovo ili kukabiliana na tatizo la tabia ya nchi?
ReplyDeleteNilimsikia mtangazaji akisema wakala wa huduma za Misitu na neno TFS.Nini maana na kazi zao?
ReplyDelete