Wakulima wa ndizi wakiwa sokoni |
.
Wakiongea na Dira ya Mazingira kijiji hapo mwishoni mwa wiki, wakulima wa ndizi walisema kuwa , arrdhi ya eneo hilo linafaa kwa kilimo cha ndizi kwa kuwa tafiri zote za kilimo na hali halisi ya uzalishaji wa sasa unaonesha kinachotakiwa ni kuwekeza nguvu za wataalamu ili kumkomboa mwananchi wa kipato cha chini.
Siyo mbingu pekee waje na KIlosa kuna mazingira mazuri yakulima ndizi.
ReplyDeleteNdizi za aina gani zinazozalishwa
ReplyDeleteSerikali kwanini isianzishe kiwanda chakukamua juisi huo? Mustafa Malugala wa Ifakara
ReplyDeleteNi kweli ndizi zinapatikana kwa wingi Mbingu tatizo barbrara hazipitiki kipindi cha mvua.Hawa Njechele
ReplyDeleteUlaya Mbuyuni na Nyameni kuna ndizi nyingi je tutapate wateja na soko la uhakika.Said Rajabu Ulaya , Kilosa
ReplyDelete