Akiongea na Muandaaji wa kipindi cha Dira ya Mazingira, Mkuu wa Idara ya Maliasili wilayani humo, Bwana Ibrahimu Ndembo amesema kuwa wasikilizaji wajiandae vyema kupata mengi kuhusu kazi na majukumu ya Idara hiyo.
Mzungumzaji katika kipindi cha kesho atakuwa Bwana Abdallah Mazingira ,mmoja wa wataalamu katika Idara hiyo.
Hao ndio muhimu sana tunawahitaji,maana wananchi hawatambui mchango wa maliasili katika maendeleo
ReplyDeleteHuyo mzungumzaji anafanana na kipindi .sasa tunasubiri atueleze maliasili za nchi zinatumikaje na wao wanawasaidia vipi wananchi wa vijijini
ReplyDeleteTunaomba turuhusiwe maswali katika kipindi cha kesho
ReplyDeleteTUNAKISUBIRI KWA HAMU KIPINDI CHA KESHO CHA MALIASILI.OMMY WA UHINDINI KILOSA
ReplyDelete