RAISI mteule wa Malawi Profesa Arthur Peter Mutharika amemteua bwana Nicolous
Deus kuwa mkurugenzi wa idara ya usalama
wa Taifa wa nchi hiyo.
Kwa mujibu wa taaifa iliyotolewa na katibu mkuu wa Ikulu wa nchi
hiyo Bi Hawa Ndilowe , uteuzi huo umenza mara moja baada ya kuchukua nafasi
iliyokuwa ikishiriwa na mkuu wa polisi wa nchini hiyo(IGP) bwana Joseph Airon
No comments:
Post a Comment