Akizungumza kwenye semina ya walimu
iliyoandaliwa na Taasisi hiyo kata ya Dakawa wilayani Mvomero, mkoani
Morogoro Msuya alisema tatizo la saratani
ya kizazi limekuwa kubwa hasa kwa watu walioko vijijini kutokana na kukosa
huduma ya afya inavyotakiwa.
Alisema ikiwa wadau mbalimbali
watashiriki kutoa elimu ya salatani ya kizazi ugonjwa huo unaweza kutokomezwa.
Kwa mujibu wa Msuya INUKA
imejipanga kutoa elimu ya salatani ya shingo ya kizazi kwa walimu
wa shule za msingi waliopo mikoa ya Morogoro na Iringa.
No comments:
Post a Comment