Tuesday, June 10, 2014

KAMPENI ya wiki moja ya kuboresha afya ya mwanafunzi kwa nchi za kusini mwa Afrika yaanza nchini Malawi



MALAWI inaendesha kampeni  ya wiki moja  ya kukuza afya ya  wanafunzi wa shule  katika nchi za kusini mwa Afrika
.

Mkuu wa  huduma za afya nchini Malawi Dokta  Charles  Mwansambo amesema kuwa kampeni hiyo ya wiki moja inalenga watoto wa miezi 6 mpaka miaka mitano kwa lengo la kupunguza vifo .

Amesema katika wiki ya kuboresha afya ya mwananfunzi serikali ya Malawi inatoa vidonge vya albandazole na matone ya vitamin A  sanjari na utoaji wa ujumbe unaohusu afya ya mtoto.

No comments:

Post a Comment