WACHIMBAJI wadogo
wa dhahabu wilayani Ngorongoro, mkoani Arusha, wameikumbusha serikali
kuwapeleka wataaalamu wa mazinigra wa kutosha katika machimbo hayo ili
kuunusuru eneo la machimbo kutokana na uharibu wa mazingira.
Wakiongea
na waandishi wa habari mjini Ngorongoro mapema jana, wachambaji haowameeeleza
kuwa,wachimbaji wengi wanachojali ni kupata dhahabu bila ya kuangalia athari zinazopatikana
baada ya kumalizika kwa shughuli za uchimbaji.
Wamesema
, ni muhimu kwa wizara yavnishati namadini kwa kushirikiana na Halmashauri ya
wilaya kuleta wataalamu wa kutosha wa mazingira kutoa elimuna uraghibishi
unaowezeshwa wachimbaji kutekeleza mikakati ya kupambana na uharibifu wa
mazingira.
Kwa
mujibu wa taarifu za hivi karibuni toka vyanzo mbalimbali vya habari ni kuwa
zaidi ya wachimbaji wadogo 7000 wamevamia kijiji cha Samunge ,wilaya Ngorongoro,
kwaajili ya uchimbaji wa madini ya dhahabu.
No comments:
Post a Comment