Mwenyekiti wa CUF taifa Prof Ibrahimu Lipumba |
KATIKA hali isiyo ya kawaida tukielekea
kwenye uchaguzi wa
serikali zamitaa Desemba 24,mwenyekiti kwa misimu miwili
Mtaa wa Konga kata ya Kingo kupitia chama cha wanachi CUF
Hamis Simba amebwaga manyanga na kuahamia chama cha
mapindizi CCM.
serikali zamitaa Desemba 24,mwenyekiti kwa misimu miwili
Mtaa wa Konga kata ya Kingo kupitia chama cha wanachi CUF
Hamis Simba amebwaga manyanga na kuahamia chama cha
mapindizi CCM.
Simba ambae kwa uamuzi wake huo amefanyiwa tafrija ndogo na
chama hicho cha CCM kata ya Sabasaba ikiongozwa na mwenyekiti
wake Fikiri Juma alisema ameamua kufanya hivyo baada ya
kuchoshwa na siasa zisizo na manufaa kwake na familia yake.
Alisema kwa muda mrefu amekuwa akiipima CCM na vyama vingine
na kubaini kuwa ccm ndio chama pekee kinachojali wananchi
wake hata sera zake zinatekelezeka kikamilifu na hakina
marumbano kama vilivyo vyama vingine vya siasa nchini
kikiwemo cha CUF.
Mara baada ya kumpokea na kumkabidhi kadi mpya,mwenyekiti wa
ccm Manspaa ya morogoro Fikiri Juma alisema hizi ni salamu
ya mvua za rasharasha kwa vyama vya upinzani kuwa 2015
wataangukia pua.
No comments:
Post a Comment