![]() |
TIMU ya Tunisia |
Tunisia ilikuwa inaongoza wakati Equitorial Guinea ilipopewa mkwaju wa penalti katika dakika ya 91 na hivyobasi kupoteza 2-1 wakati wa mda wa ziada katika mechi ya robo fainali.
''Refa wa mechi hiyo alifanya makosa makubwa sana ,si haki'',alisema Leekens.Matokeo yalilazimishwa siwezi kukubali'',.
Tayari afisa mkuu wa soka nchini Tunisia Wadie Jary amejiuzulu katika shirikisho la soka barani Afrika CAF ili kupinga yaliotokea.
No comments:
Post a Comment