Monday, February 2, 2015

TUNISIA yalaumu makocha


TIMU ya Tunisia

KOCHA  Goerges Leekens wa Tunisia ameelezea kushindwa kwa kikosi chake na Equitorial Guinea katika mchuano wa kombe la Afrika kama aibu katika soka.

Tunisia ilikuwa inaongoza wakati Equitorial Guinea ilipopewa mkwaju wa penalti katika dakika ya 91 na hivyobasi kupoteza 2-1 wakati wa mda wa ziada katika mechi ya robo fainali.
''Refa wa mechi hiyo alifanya makosa makubwa sana ,si haki'',alisema Leekens.Matokeo yalilazimishwa siwezi kukubali'',.
Tayari afisa mkuu wa soka nchini Tunisia Wadie Jary amejiuzulu katika shirikisho la soka barani Afrika CAF ili kupinga yaliotokea.


















No comments:

Post a Comment