Friday, March 27, 2015

WAVUVI Ziwa Victoria watakiwa kutunza mazingira



Wavuvi na wachuuzi wa samaki wakiwa katika mwalo wa Ziwa Victoria

HALI ya utunzaji na uhifadhi mazingira katika mwalo wa Ziwa Victoria si mzuri  kwani  uharibifu unachukua nafasi kubwa kutokana na wavuvi kutofuata kanuni za uvuvi zilizo rafiki wa mazingira ,Imeelezwa

Timu ya wataalamu wa Mazingira waliotembelea mialo ya Ziwa Victoria hivi karibuni katika kujionea namna  wavuvi na wananchi wengine wanaoendesha shughuli za kibinadamu kando kando ya ziwa hilo, imeshuhuda uharibifu wa Mazingira.
Kutokana na hali hiyo serikali na wadau mbalimbali wa Mazingira wametakiwa kufika katika maendewoe hayo na kutoa elimu kwa umma namana ya kutunza na kuhifadhi mazingira ili kuondoa sintofahamu itakayojitokeza

No comments:

Post a Comment