![]() |
| Wananchi wakitupa taka katika gari maalum |
Wataalamu wa Mazingira wameeleza hayo mwishoni mwa wiki
katika mahojiano maalum na kipindi cha Dira ya Mazingira mjini Morogoro .
Wamesema kuwa,
Tanzania kwasasa inazalisha taka ngumu na zile laini kwa kiwango kikubwa sana ,
hivyo ni muhimu kwa watanzania kuchangamkia fursa hiyo.

No comments:
Post a Comment