Bwana Phill Jones na Mkurugenzi Takukuru Dk Edward Hosea
WACHUNGUZI
kutoka ofisi 27 za mikoa za TAKUKURU wanapata
ujuzi kupitia mafunzo yenye kugusa masuala ya utakatishaji wa fedha, kupata
taarifa na mlolongo wa uhalifu kwa kutumia sheria za sasa za Tanzania.
Mafunzo haya yamefadhiliwa na DFID kama sehemu ya Mpango wa Kuimarisha
Mapambano dhidi ya Rushwa Tanzania (STACA) na inasimamiwa na Afisa wa Uingereza
toka kitengo cha NCA, Bwana Phill Jones.
No comments:
Post a Comment