Kupitia
tamasha kama hilo wasanii wanapata fursa kuwasilisha ujumbe uliopo mioyoni mwao
na kutengeneza majadiliano yanayoangazia masuala mbalimbali katika jamii
Ni
katika shule moja maarufu iliyopo kwenye kitongoji cha mji wa Dakar , madarasa
ya shule hii ambapo kwa sasa yamegeuka kuwa kumbi za tamasha hilo,huku viti na
meza vikiwa vimewekwa kando,vijana wamekaa chini kwa umakini mkubwa wakiendelea
na michezo mbali mbali ya kuigiza

No comments:
Post a Comment