SERIKALI ya Uturuki inasema kuwa ndege za kivita
zimetekeleza mashambulizi katika kambi za kundi la Kikurdi PKK Kaskazini mwa
Iraq na kusini mashariki wa Uturuki.
Ankara
imesema kwamba mashambulizi ya PKK nchini Uturuki yamefanya mazungumzo ya amani
kutoendelea.
No comments:
Post a Comment