KOCHA Mkuu wa Manchester City Manuel Pellegrini
amekubali kuwa mshambuliaji wake Edin Dzeko anaweza kuondoka kwenye klabu hiyo.
Dzeko mwenye miaka 19 yupo pamoja na kikosi cha Man City katika safari ya
maandalizi ya msimu mpya wa ligi huko Australia na hakucheza wakati timu hiyo
ilipocheza na AC Roma ya Italia siku ya jumanne.
No comments:
Post a Comment