![]() |
| Mbunge wa Arumeru mashariki Joshua Nasari (katikati) mwenye suti |
MBUNGE wa Arumeru mashariki Joshua
Nassari ameshiriki mazishi ya aliyekuwa Diwani
pekee wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) katika halmashauri ya Meru, mkoani Arusha,
Naftali Mbise.
Mazishi hayo
yalifanyika jana katika Kata ya Ngarenanyuki ambayo alikuwa akiiongoza diwani
huyo, Mchungaji wa Kanisa la Pentekoste Tengeru, aliwasihi waumini wa dini ya
Kikristo kujiweka tayari kwa maana hakuna mtu anayejua kesho itakuwaje.

No comments:
Post a Comment