WITO huo umetolewa na Naibu waziri ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia muungano na mazingira, Runga Mpina wakati akiongea na wanahabri jijini Dodoma
Naibu waziri huyo amesema kuwa serikali kupitia ofisi ya makamu wa Rais mazingira imeweka mikakati ya kupanda miti laki moja na elfu sthemanini na tano kila ili kupambana na chanmgamoto za athari za mabadiliko ya tabia ya nchi.

No comments:
Post a Comment