TIMU ya Yanga kupambana na Al Ahly ya Misri kesho uwanja wa Taifa
Timu ya Yanga ya Dar es salaam, Tanzania
TIMU ya Yanga ya Dar es salaam nchini Tanzania
itashuka dimbani kesho Jumamosi kucheza
na Timu ya Al Ahly ya Misri hatua ya 16
bora katika Ligi ya Mabingwa barani Afrika (CAF CL).
Mtanange
huo utachezwa uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam kuanzia saa 10 kamili kwa
saa za Afrika Mashariki.
.
Yanga
na Azam FC ndio wawakilishi pekee wa Tanzania waliosalia katika michuano.
No comments:
Post a Comment