WANANCHI wa Manispaa ya Temeke jijini Dar es salaam walijitokeza katika maeneo mbalimbali ya Mamnispaa
hiyo kufanya shughuli za usafi wa mazingira ili kutekeleza agizo la mkuu wa
mkoa wa Dar es salaama Bwana Paul Makonda.
Mbiu ya Maendeleo
ilitembelea katika kata ya Mbagala kuu manispaa ya Temeke na kuwakukuta
wananchi wa eneo la nja ya ngombe wakifanya usafi wa mazingira, huku maduka na
maeneo yote ya shughuli za kiuchumi yakiwa yamefungwa .
Wananchi hao wamepongeza
hatua ya manispaa hiyo ,kushauri zoezi hilo liwe endelevu na liwe lenye ubunifu
zaidi ili kuuleta tifa bna ufanisi stahiki.
Manispaa ya Temeke, jijini Dar es salaa imetoa agizo kwa wakazi wote wa wilaya hiyo kufanya usafi kila siku ya jumamosi.

No comments:
Post a Comment