![]() |
| Wachezaji wa Yanga wakishangilia |
Mbali na hayo Yanga itakabidhiwa ubingwa wa Ligi ya VodaCom kwa mwaka 2015/2016 leo uwanja wa Taifa ambapo mgeni rasmio atalkayekabidi kombe hilo ni Waziri wa kilimo, Mifugo na Ushirika akiambatana na mkuu wa mkoa wa Dar es salaaam , Bwana Paul Makonda .

No comments:
Post a Comment