 |
| Paka Scooter |
PAKA mmoja aliyezaliwa wakati wa utawala wa rais
Ronald Reagan mwaka ametajwa kuwa paka mzee duniani.
Kitabu cha kumbukumbu za rekodi mpya cha
Guiness book of World records kilisema kuwa Scooter alisherehekea mwaka wake wa
30 tangu kuzaliwa kwake mnamo tarehe 26 mwezi Machi.
Anaishi huko Mansfield,Texas.Mmiliki wake Gail Floyd anasema kuwa Scooter
ameishi kwa miaka mingi kwa kuwa husafiri sana.(BBC SWAHILI)
No comments:
Post a Comment