![]() |
| Wafanyabiashara wa mbogamboga |
Baadi ya wananchi
wanaouza mbogamboga katika manispaa ya Temek ,jijini Dar es salaam katika maeneo ya Mtoni mtongani ,
Mbagala misheni na Mgeni nai wameiambia Mbiu Media kuwa wanashindwa kukabiliana
na changamoto ya kudorora kwa bidhaaa zao za mbogamboga kutokana na kukosa
elimu sahihi ya ujasiriamali sanjari na ile ya usindikaji na uhifadhi wa
mbogamboga katika njia za kisasa.
Wamesema kuwa, nguvu ya kununua kwa wateja wengi kwa
sasa imepungua hali inayochangia mboga nyingi kubaki , hivyo wanahitaji elimu na ujuzi wa utunzaji na uhifadhi wa
mbogamboga hizo pamoja na ujasiriamali.

No comments:
Post a Comment