MISRI ni nchi ya kwanza barani Afrika kwa uzalishaji
wa zao la kitunguu ikiwa inazalisha tani 1,758,618 kwa mwaka.
Kw amujibu wa takwimu
zilizotolewa hivi karibuni na shirika la Kilimo na chakula duniani(FAO) ni
kwamba China ni nchi ya kwanza duniani
kwa uzalishaji wa zao la kitunguu ikiwa inazalisha tani 20,897,638 kwa mwaka .
Kittunguu ni zaoa linastawi vizuri katika
maeneo yenye udongo wa tifutifu na mahitaji ya zao hilo kwa matumizi mbalimbali
yamekuwa yajiongezeka mwaka hadi mwaka.
Nchini Tanzania mkoa wa Singida ndiyo
unaolima zao hilo kwa wingi.
s

No comments:
Post a Comment