MJASIRIAMALI raia wa Kenya Wanjiru
Waweru-Waithaka ameamua kupanda mimea ya maua katika viatu vya plastiki vikuu
kuu.
Anasema mimea ya maua inayopandwa kwenye viatu vya plastiki
vikuu huwafanya wateja wanaotembelea biashara yake ya kuuza vitanda vya watoto,
katika mji wa Kikuyu nje ya jiji la Nairobi watabasamu.

No comments:
Post a Comment