Picha
za maji ya mto Daldykan ambayo yamebadilika rangi zimesambazwa sana katika
vyombo vya habari Urusi.
Gazeti
la serikali la Rossiiskaya Gazeta linasema kuvuja kwa bomba la kusafirisha taka
za mchanganyiko wa shaba nyekundu na nikeli huenda likawa kiini cha maji hayo
kubadilika rangi.
Norilsk
Nickel ndiyo mzalishaji mkubwa zaidi wa nikeli na palladium duniani.(BBC SWAHILI)

No comments:
Post a Comment