Monday, September 5, 2016

MBEYA City yawasili jijini Mbeya ikitokea kanda ya Ziwa


Wachezaji wa Mbeya City wakishangilia 
TIMU ya Mbeya City ya jijini Mbeya imewasili mkoani humo baada ya safari ndefu ya kada ya Ziwa ilipokuwa ikicheza na timu ya Mbao Fc na kuichapa bao nne kwa bila .


Mbaeya City imewasili mapema leo huku ikijiandaa na mchezo wa ligi kuu ya voda Com  Tanzania bara ambapo itacheza na Azam Fc maarufu kama “Lambalamba

No comments:

Post a Comment