 |
| Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa stars) |
TIMU ya Taifa ya Tanzania (Tiafa Stars) na
ilichapwa bao moja na timu ya Taifa ya Nigeria.
Bao la Nigeria lilifungwa na Kelechi Iheanacho ambaye wiki moja tu
iliyopita amesaini kandarasi ya malipo ya pauni 85,000 kwa wiki na kuwa
mchezaji anayelipwa juu zaidi nchini Nigeria ameonyesha umahiri wake.
Bao la mda wa ziada
la mshambuliaji huyo wa Manchester City ndilo lililoweza kubaini mbivu na
mbichi dhidi ya Tanzania katika mchuano wa kufuzu kwa kombe la bara Afrika
2017.
No comments:
Post a Comment