JUMLA ya shilingi
Milioni 170 zimetumika kuboresha soko la
Samaki feri kwa ajili ya ujenzi wa zoni ya kukaangia samaki baada ya
kuungua.
Afisa uhusiano na elimu kwa umma wa manispaa ya Ilala
Bi Tabu Shaibu ameeleza hayo leo wakati akielezea hatua zilizofikiwa katika
ujenzi wa soko jipya la samaki lililopo Feri Jijini Dar es salaam.
Amesema kuwa katika fedha hizo shilingi Milioni 75 zimetumika kuboresha
mifereji ya maji taka,ukarabati wa meza 23 za kunadia samaki,kuzibua mitaro ya
maji taka na maji ya mvua.
No comments:
Post a Comment