IMEELEZWA kuwa kati ya asilimi 40 hadi 70 za
pembejeo za kilimo zinazotolewa na serikali nchi haziwafikii walengwa.
Watafiti
toka Chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine cha Morogoro wamebainisha hayo hivi karibuni katika semina iliyoandaliwa na
Mtandao wa vikundi vya wakulima (MVIWATA) katika kuelimisha wadau wa kilimo
matumizi bora ya radhi yaliyofanyika mjini Morogoro.
Kutokana
na hali hiyo wataalamu hao wa kilimo wameishauri serikali kutumia mbinu ya kielectroniki
itakayowawezesha wakulima kupata pembejeo hizo kwa uhakika.
No comments:
Post a Comment