.
MEYA
wa Manispaa ya Morogoro mheshimiwa Amir Nondo amesema kuwa
uongozi wa Manispaa hiyo umefanikiwa kuwapatia mikopo
vijana zaidi ya 200 wa kongano mbalimbali ili waendeleze mitaji yao.
Mheshimiwa Nondo ametoa kauli hiyo jana wakati alipokuwa akizungumza katika uzinduzi wa kongano la wafanya biashara wa mbao waliopo ndani ya manispaa hiyo.
Mheshimiwa Nondo ametoa kauli hiyo jana wakati alipokuwa akizungumza katika uzinduzi wa kongano la wafanya biashara wa mbao waliopo ndani ya manispaa hiyo.
No comments:
Post a Comment