MFUMO wa masoko ya mazao ya kilimo
unakabiliwa na kukosekana kwa taarifa
sahihi na miundo mbinu mibovu.
Waziri wa kilimo, chakula na ushirika Mheshimiwa Christopher
Chiza ameeleza mwmwhishoni mwa wiki mjini Dodoma wakati akiwasilisha bajeti ya
wizara ya yake kwa matumizi ya mwaka 2014/2015
Amesema, kutokana na hali hiyo wizara kwa kushirikiana na
wakala wa mazao husika inaandaa utaratibu wa kuanzisha mfuko wa mazao kwaajili
ya kusaidia wakulima pindi bei ya mazao inaposhuka katika soko la dunia.
Muswada wa sheria ya kuanzisha mfuko wa kufidia bei ya mazao
unatarajiwa kuwasilishwa bungeni katika kipindi cha mwaka 2014/2015
No comments:
Post a Comment