Tuesday, May 27, 2014

MAONESHO ya ya elimu ya mnazi mkinda yafunguliwa leo katika viwanja vya mnazi mmoja, jijini Dar es salaam











MAONESHO ya siku mbili ya Elimu ya msingi ya  Mnazi mkinda  yaliyoandaliwa na Halmashauri ya wilaya ya Ilala kwa kushirikiana na Taasisi ya Insider Tanzania  ya
meanza leo katika viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar es salaam, na yanarajia kumalizika hapo kesho.
Akiongea na mbiu ya maendeleo katika viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dra es salaam mapema leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Insider Tanzania Bwana Aaron Kinega , amesema kuwa Falsafa ya “Mnazi Mkinda” ilianzishwa miaka mitatu iliyopita  ukiwa na lengo na kuongeza ufaulu na ubunifu kupitia elimu nya darsani na uibuaji wa vipaji vya wanafunzi kupitia michezo katika manispaa ya Ilala
Falsafa hiyo inatimiza malengo ya matokeo makubwa sasa yaani BRN kama ilivyozoeleka
Katika falsafa hiyo mwanafunzi anatakiwa atoke kwenye kkk kuelekea KKK yaani kutoka kusoma,kuandika na kuhesabu (kkk) akomae zaidi na kwenda Kujitambua , kujiamini na kujitegemea.(KKK)
Maana ya mnazi mkinda ni mnazi mchanga yaani kumlea mwananfunzi mpaka afikie hatua ya kujitegemea  

,

MAONESHO ya siku mbili ya Elimu ya msingi ya  Mnazi mkinda  yaliyoandaliwa na Halmashauri ya wilaya ya Ilala kwa kushirikiana na Taasisi ya Insider Tanzania  ya
meanza leo katika viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar es salaam, na yanarajia kumalizika hapo kesho.
Akiongea na mbiu ya maendeleo katika viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dra es salaam mapema leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Insider Tanzania Bwana Aaron Kinega , amesema kuwa Falsafa ya “Mnazi Mkinda” ilianzishwa miaka mitatu iliyopita  ukiwa na lengo na kuongeza ufaulu na ubunifu kupitia elimu nya darsani na uibuaji wa vipaji vya wanafunzi kupitia michezo katika manispaa ya Ilala
Falsafa hiyo inatimiza malengo ya matokeo makubwa sasa yaani BRN kama ilivyozoeleka
Katika falsafa hiyo mwanafunzi anatakiwa atoke kwenye kkk kuelekea KKK yaani kutoka kusoma,kuandika na kuhesabu (kkk) akomae zaidi na kwenda Kujitambua , kujiamini na kujitegemea.(KKK)
Maana ya mnazi mkinda ni mnazi mchanga yaani kumlea mwananfunzi mpaka afikie hatua ya kujitegemea  

,



No comments:

Post a Comment