WABUNGE wameitaka serikali kutunga sheria pana ya vyombo
vya habari itakayogusa mambo mengi imkiwemo bima ya maisha wakiwa kazini.
Ushauri huo umetolewa
leo bungeni mjini Dodoma na wabunge
wakati wakichangia bajeti ya wizara ya
habari,vijana ,utamaduni na michezo.>............................
Wabune hao wamefafanua
kuwa mazingira ya waandishi wengi hasa wanaofanya kazi katika vyombo vya habari
vya binafsi ni hatari kwao kwani wengi hawana bima za maisha , wanalipwa mishahara
duni na hawana mikataba ya kisheria inayowabana waaajiri wao.
Hata hivyo wabunge hao
wamewataka waaandishi wa habari kufuata
maadili ya taaluma ya habari kuepusha
sintofahamu katika jamii.
No comments:
Post a Comment