Wednesday, May 28, 2014

TAASISI,mashirika na wafanyabiashara wilayani Kilosa wametakiwa kuchangia maendeleo





WITO  umetolewa kwa Taasisi,mashirika  na wafanya biashara mbalimbali wilayani Kilosa ,mkoani Morogoro kujitokeza kuchangia mifuko ya maendeleo ikiwemo hasa sekta ya  elimu.
Akiongea  na mbiu ya maendeleo ofisini kwake mapema leo  Afisa Mtendaji kata ya Kasiki  iliyopo mamlaka ya mji mdogo Kilosa Ferdinand Weteka amesema ni vizuri Taasisi na mashirika  kama TANESCO na CRDB kuiga mfano wa NMB ambao wamekuwa mbele kuchangia katika elimu
 Amesema Bank ya NMB imechangia zaidi ya madawati themanini yenye thamani ya shilingi milioni tano kwenye shule ya sekondari Dendego iliyopo kata ya Kasiki,wilayani Kilosa   ambayo tayari yapo kwenye mchakato wa kukamilika .

Weteka amesema pia shule ya msingi Mazinyungu inakabiriwa na upungufu wa meza na madawati ambapo amewataka wazazi kujitokeza kuchangia na wale wasio changia

No comments:

Post a Comment