Monday, June 30, 2014

MAUZO ya zao la muhogo yaongezeka



WAKULIMA  wa zao la mhogo wilayani Kisarawe ,mkoa wa Pwani  washukuru mwezi mtukufu wa ramadhani kutokana na kuongezeka kwa mauzo ya zao hilo.


Wakiongea na Mbiu ya Maendeleo wilayani  hapo , wakulima hao wamesema kuwa, kweli mwezi wa ramadahani ni neema kimwili na kiroho kwani tunashukuru toka  jana kumekuwa na ongezeko kubw ala mazuo ya muhogo kutokana bna wafanyabiashara wengi toka jijini Dar kuja kwa wingi katika vijiji mbalimbali vinavyozalisha muhogo wilayani Kisarawe.

Hata hivyo  wamesema , ni vyema serikali ikawasaidia namna bora ya usindikaji wa zao hilo ili kuoingeza thamani kutakoendana na ukuzaji wa uchumi wa mkulima mdogo.  



No comments:

Post a Comment