WAKULIMA wa zao la mhogo wilayani Kisarawe ,mkoa wa Pwani
washukuru mwezi mtukufu wa ramadhani
kutokana na kuongezeka kwa mauzo ya zao hilo.
Wakiongea na Mbiu ya
Maendeleo wilayani hapo , wakulima hao
wamesema kuwa, kweli mwezi wa ramadahani ni neema kimwili na kiroho kwani
tunashukuru toka jana kumekuwa na
ongezeko kubw ala mazuo ya muhogo kutokana bna wafanyabiashara wengi toka
jijini Dar kuja kwa wingi katika vijiji mbalimbali vinavyozalisha muhogo
wilayani Kisarawe.
Hata hivyo wamesema , ni vyema serikali ikawasaidia
namna bora ya usindikaji wa zao hilo ili kuoingeza thamani kutakoendana na
ukuzaji wa uchumi wa mkulima mdogo.
No comments:
Post a Comment