MKUU
wa mkoa wa Morogoro DK Joel Bendera
amewaagiza wakurugenzi wa wilaya mkoani Morogoro kupeleka haraka taarifa ya
watumishi wa serikali wazembe na wasio waadilifu ofisini kwake ili
awachukulie hatua za kisheria.
Bendera ametoa agizo hilo mjini
Morogoro katika kikao cha madiwani halmashauri ya morogoro
cha kupitia majibu ya hoja za mkaguzi mkuu wa waserikali (GAG)mwaka
2012\ 2013
.
.
Dk Bendera alisema hayo baada ya
kusoma taarifa ya CAG ambayo imeonesha mkoa huo kufanya vizuri katika hesabu
zakehususani katika ofisi ya mkuu wa mkoa na mamlaka za serikali za
mitaa na kupata hati safi isiyona mashaka 2012na 2013.
Pamoja na mkoa kupata
hati safi ktika hesabu za mwaka 2012 na 2013 Bendera amewataka watumishi wake
kutoridhika na mafanikio hayo na baadala yake waendelee kupambana ili kuweza
kupambana ili kudumisha mafanikio kwa lengo la kufikia kiwango cha juu kabisa.
Mbali na hilo amezipongeza
halmashauri hususani ya wilaya ya Morogoro kwa kukataa kupata hati chafu kama
ilivyokuwa mwaka 2010 na 2011.
No comments:
Post a Comment