Saturday, June 21, 2014

RAIS Kikwete afungua seimna ya ya wafanyabiashara mjini Dodoma



RAIS  wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho  Kikwete leo amefungua Semina ya Commodity Exchange Dodoma kwa wafanyabiashara .

 
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akifungua Semina ya Africa Rural Commodity Exchange iliyofanyika katika ukumbi wa St.Gasper uliopo nje kido ya mji wa  Dodoma .
Semina  hiyo yenye lengo la  kuwajengea uwezo wafanyabiashara sanjari na kuwaonesha fursa za kibiashara Afrika mashariki, Afrika na Duniani  kwa ujumla .

Katika uzinduzi huo Rais Kikwete aliambatana na viongozi mbalimbali wa serikali akiwemo  Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue.



No comments:

Post a Comment