Wednesday, June 4, 2014

WABUNGE waitaka wizara ya fedha kutunga


SERIKALI  imetakiwa kuunda kamati mahususi  itakayosimamia  na kuendesha Vico na Saccos nchini ili kuepusha tabia ya utapeli inayofanywa na baadhi ya Taasisi za fedha nchini .


Ushauri huo umtolewa leo Bungeni mjini Dodoma na makamu mwenyekiti wa kamati ya fedha na uchumi Mheshimiwa  Darkness Standura  wakati akichangia bajeti ya wizara ya fedha na uchumi.
 Amesema kuwa , kwa muda mrefu hakuna sheria inayotawala  uendeshaji na usimamazi wa Taasisi za fedha vijiji hali ambayo inachangia wananchi wengi kutapeliwa na Taasisi feki za fedha hasa katika maendeo ya vijijini

No comments:

Post a Comment