![]() |
| Waokoaji nchini Malaysia wakiopoa maiti zilizozama kwenye boti |
WAOKOAJI wanaendelea kutafuata miili ya watu 30 baada ya boti waliyopanda kuzama pwani ya bahari ya Malaysia katika jimbo la Selangor.
Katika msako huo
unaoendelea imeabainika kuwa watu watano
wamefariki,huku watu wengine 61
wamejeruhiwa.. Boti hiyo inadhaniwa kuwa
ilibeba watu 97 ambao ni wananchi wa
taifa la Indonesia.
Kwa mujibu wa msemaji wa
wakala wa mambo ya bahari ya nchini Malaysia amesema watvu hao walikuwa
wanaondoka nchini Malaysia kinyume cha sheria...

No comments:
Post a Comment