WAUMINI
wa madhehebu mbalimbali ya Dini wilayani Kilosa Mkoani Morogoro
wametakiwa kuitunza na kuilinda Amani iliyopo hapa Nchini ambaye hiwapa
itavunjika itasababisha machafuko katika jamii.
Hayo
yamesema hivi karibuni katika tarafa ya kimamba na Selemani
Muhammadi Madali ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mkutano wa viongozi wa
dini mbalimbali wenye lengo la kudumisha amani wilayani Kilosa.
MADALI
amesema kuwa amani ni jambo muhimu sana katika jamii hivyo waumini wote wa
madhehebu ya dini wahakikishe wanailinda na kuidumisha kwani yapo maeneo
mengine Nchi mbalimbali wanaitafuta amani ambayo ikipotea kuirejesha tena ni
gharama kubwa.
Naye
Mkuu wa baraza la mahusiano ya dini mbalimbali wilayani Kilosa Shekhe Hamza Goma
amesema kuwa amani na upendo huja kwa mshikamano hiwapo waumini wote
watailinda na kuishi kwa kupendana amani iliyopo sasa haitapotea.
No comments:
Post a Comment