Wachezaji wa Timu ya Algeria |
Bao la kwanza lilifungwa baada ya dakika moja tangu mechi kuanza pale mchezaji Yacine Brahimi alipopata pasi safi kutoka kwa Islam Slimani pembeni mwa uwanja na kuvurumisha mkiki mkali ulioenda juu juu nakutingisha wavu.
Riyad Mahrez anayeichezea klabu ya Leicester city katika ligi ya Uingereza, aliongeza bao la pila katika kipindi cha pili .
Hii ni baada ya kupata pasi nzuri kutoka kwa Sofiane Feghouli na kufunga kwa urahisi kabisa.
No comments:
Post a Comment