![]() |
Wachezaji wa Tunisia |
Mchezaji Emmanuel Mayuka alifungua ukurasa wa mabao katika mchuano huo baada kufunga krosi iliopigwa na Rainford Kalaba.
Lakini Mayuka alipata jeraha na hivyobasi kutolewa alipojaribu kufunga bao la pili alipokuwa amesalia na wavu.Lakini Ahmed Akaichi alisawazisha katika eneo la hatari.
Tunisia iliimarisha mchezo wake baada ya bao hilo na ilipofikia dakika ya 88 Yasine Chikhaoui alifunga bao la pili kupitia kichwa.
No comments:
Post a Comment