Thursday, January 29, 2015

KUKOSEKANA kwa njia mbadala za umaskini wakipato wachangia uharibifu wa Misitu Kilosa


Magunia ya mkaa yakiwa sokoni

WAKAZI  wa  kataya Kisanga,tarafa yaMikum iwilayani Kilosa, mkoa wa Morogorowamesema kuwa ukataji miti ovyo unachangaia na ukosefu wa njia mbadala za kupambana na umaskiniwakipato toka Serikali ya kijiji na Halmashauri ya wilaya.

Wakiongeana Mbiu ya Maendeleo ,wishoni mwa wikiwananchi haowamesema , rasilimali inayowazunguka ni madini na misitu,lakini kati ya rasilimali hizo madini yanahitaji mtaji mkubwa sanjari na elimu ya kutosha juu ya namana ya kuchimba na kuendesha biashara husika.
Wameulalamikia uongozi wa kata na Halmashauri ya wilaya kwa kutoa wapatia njia mbadala ya kujikwamua kiuchumi ,kwani kwa kutegemea misitukwa kuchoma mkaa na kuuza kuni ni hatari kwa kizazi kijacho  .



No comments:

Post a Comment