IDHAA ya
Kiswahili ya BBC inataka kuwatahadharisha wasikilizaji na watumiaji wa mtandao
wake dhidi ya watu wenye nia mbaya wanaotumia jina la BBC kwa vitendo vya
kitapeli.
Kumezuka mtandao bandia unaotumia jina la BBC
SWAHILI NEWS kuandika habari za uzushi na kulaghai wananchi kwa habari
zisizokuwa na ukweli wala uhusiano na shirika hili la habari.
BBC inapenda kuwakumbusha wasikilizaji na
wasomaje wake wote wanaofuatilia habari zake kuwa makini na haina blog ya aina
hiyo.
No comments:
Post a Comment