![]() |
Nahodha wa IVORY Coast Yaya Toure akisubiri kupokea kombe |
Mwezi Novemba pekee, wenyeji wa awali, Morocco iliomba michuano hiyo icheleweshwe, lakini ombi hilo lilikataliwa, na kusababisha ihamishwe.
Licha ya ghasia na huduma duni, Hicham el Amrani ameeleza kuwa yalikuwa mashindano yenye mafanikio
No comments:
Post a Comment