![]() |
Maporomoko ya maji katika misitu ya Asili |
Meneja wa wakala wa huduma za misitu wilayani Kilosa , Morogoro Bwana John Ulomi ameiambia Mbiu ya ya maendeleo kuwa, elimu hiyo itatolewa kwa siku mbili , ikiwa ni pamoja na kutembelea vijiji vinavyotekeleza mradi huo ulio chini ya MJUMITA
No comments:
Post a Comment