Tuesday, February 17, 2015

BUZWAGI yasimamisha uchimbaji wa dhahabu ndani ya miaka 2 ikidai ni hasara


Mgodi wa Buzwagi wa Kahama, mkoani Shinyanga

KAMPUNI  ya Acacia inayomiliki mgodi wa dhahabu wa Buzwagi mkoani Shinyanga, imesema ndani ya miaka miwili, itasitisha shughuli za uchimbaji na uzalishaji madini hayo, kutokana na soko kuzidi kushuka.


Hayo yamesemwa hivi karibuni  na Meneja mkuu wa Kampuni ya Acacia Bwana  Filbert Rweyemamu wakati akiongeana waandishi wa habari.


No comments:

Post a Comment