Tuesday, February 17, 2015

NYUMBA za Askari magereza zabomolewa na mvua


Nyumba ya Askari magereza iliyobomolewa na mvua

BAADHI ya nyumba za askari magereza wa gereza la Mtego wa Simba Kingolwira Morogoro zimengolewa na kubomolewa na mvua iliyokuwa imeambatana na upepo mkali juzi majira ya saa 9 jioni.


Jengo refu lenye tofari nyekundi ni stoo ya kuhifadhi chakula cha wafungwa likiwa limeezuliwa na kuliacha wazi.Hatari ya vyakula kuharibika kwa kunyeshewa mvua.

Kanisa la Assemblies of God la Mtego wa Mimba likiwa limengolewa paa na kusababisha adha kwa waumini wa kanisa hilo kupata huduma za kiroho 

No comments:

Post a Comment