Monday, February 2, 2015

WAKULIMA wa ndizi Kilombero wameipongeza serikali


WAKULIMA wa ndizi wakiwa sokoni

WAKULIMA wa ndizi kata ya Mbingu , wilayani Kilombero ,mkoa wa Morogoro  wameipongeza serikali na Asasi mbalimbali kwa jitihada za kuboresha zao ndizi kijini hapo.

Wakiongea na Mbiu ya maendeleo katika kata ya Mbingu wilayani Kilombero hivi karibuni ,wakulima hao wamesema,ndizi ni mkombozi kwao katikakutatua matatizo ya kiuchumi kwa kusomesha watoto wao na kumudu gharama za matibabu.

No comments:

Post a Comment